Lituania yailazimisha Malta kwenda sare ya kufungana 1-1
Timu ya soka ya taifa ya Malta ilienda sare ya kufungana 1-1 na timu ya taifa ya Lituania hiyo Alhamisi kwenye ya siku ya tisa ya kufuzu kwa kombe la Dunia la 2018.

Timu ya soka ya taifa ya Malta ilienda sare ya kufungana 1-1 na timu ya taifa ya Lituania hiyo Alhamisi kwenye siku ya tisa ya kufuzu kuelekea kombe la Dunia la 2018.
Timu ya Lithuania iliweza kujipatia pointi moja ugenini kwenye uwanja wa Ta'Qali huko Malta.
Malta ndio waliofungua mlango wa magoli kwa kuingiza bao la kwanza mnamo dakika 23 kupitia mchezaji Agius. Kipindi cha pili kilipoanza , Lituania ikaja na nguvu na mwishowe ikasawazisha goli hilo dakika ya 53.
Kufuatia mechi hiyo, Lituania imeketi nafasi ya 5 ikiwa na pointi 6, huku ikifuatiwa na Malta kwenye kundi F.